Loading...

Hadithi Hamsini na Mbili Kuu Katika Biblia - Lesson 1

Uumbanji na Mungui

Mwanzo 1 ni moja ya sura ya msingi katika Biblia nzima. Haituelezi tu jinsi kila kitu kilianzia, lakini inatuanzishia mafundisho ya msingi juu ya Mungu ni nani na sisi ni nani katika uhusiano wetu naye. Badala ya kubishana kuhusu masuala ya sekondari kama historia na sayansi, Mwanzo 1 inafaa kuyageuza macho yetu juu kuelekea mbinguni, tukishangaa juu ya mkuu ya Mungu.

Bill Mounce
Hadithi Hamsini na Mbili Kuu Katika Biblia
Lesson 1
Watching Now
Uumbanji na Mungui

Lessons
About

English |Hindi | Swahili

Biblia ni hadithi moja inayoendelea, kutoka hadithi ya uumbanji hadi hadithi kuhusu kurundi kwa Yesu kunaotarajiwa katika mwisho wa nyakati. Na pia kuna hadithi ndogo- ndogo ambazo zinaunganishwa kufanya hadithi moja kuu.

Darasa hili ni kuhuhusu hadithi 52 zitakazokusaidia katika safari yako utakapotembea kupitia hadithi kuu za Biblia, 26 zimo katika Agano la Kale (nyakati zinazotazamia kuhusu Yesu) na 26 katika Agano Jipya (nyakati za Yesu na baadaye). Zimepangwa na kutayarishwa hasa kwa sababu ya watu wanaoweza kufahamu vema kupitia hadithi badala ya mafundisho.