Loading...

Hadithi Hamsini na Mbili Kuu Katika Biblia - Lesson 16

Kukabiliwa na Kutubu

Zaburi 51 inatoa mfano kwa kweli wa kukiri katika Biblia, ambapo tunakubali hatia zetu wenyewe na haki ya Mungu, hufanya udhuru, na rufaa si kwa matendo yetu mema bali kwa huruma ya Mungu.

Bill Mounce
Hadithi Hamsini na Mbili Kuu Katika Biblia
Lesson 16
Watching Now
Kukabiliwa na Kutubu

Lessons
About

English |Hindi | Swahili

Biblia ni hadithi moja inayoendelea, kutoka hadithi ya uumbanji hadi hadithi kuhusu kurundi kwa Yesu kunaotarajiwa katika mwisho wa nyakati. Na pia kuna hadithi ndogo- ndogo ambazo zinaunganishwa kufanya hadithi moja kuu.

Darasa hili ni kuhuhusu hadithi 52 zitakazokusaidia katika safari yako utakapotembea kupitia hadithi kuu za Biblia, 26 zimo katika Agano la Kale (nyakati zinazotazamia kuhusu Yesu) na 26 katika Agano Jipya (nyakati za Yesu na baadaye). Zimepangwa na kutayarishwa hasa kwa sababu ya watu wanaoweza kufahamu vema kupitia hadithi badala ya mafundisho.