Loading...

Hadithi Hamsini na Mbili Kuu Katika Biblia - Lesson 25

Yeremia, Ezekieri na Agano Jipya

Yeremia na Ezekieli wametabiri kabla na wakati wa uhamisho, kuhubiri hukumu ya Mungu kama vile ahadi yake ya matumaini. Matumaini ilikuwa Agano Jipya ambapo sheria ya Mungu ingeandikwa katika moyo wa mtu na uwezo kupitia kazi ya Roho wa Mungu.

Bill Mounce
Hadithi Hamsini na Mbili Kuu Katika Biblia
Lesson 25
Watching Now
Yeremia, Ezekieri na Agano Jipya

Lessons
About

English |Hindi | Swahili

Biblia ni hadithi moja inayoendelea, kutoka hadithi ya uumbanji hadi hadithi kuhusu kurundi kwa Yesu kunaotarajiwa katika mwisho wa nyakati. Na pia kuna hadithi ndogo- ndogo ambazo zinaunganishwa kufanya hadithi moja kuu.

Darasa hili ni kuhuhusu hadithi 52 zitakazokusaidia katika safari yako utakapotembea kupitia hadithi kuu za Biblia, 26 zimo katika Agano la Kale (nyakati zinazotazamia kuhusu Yesu) na 26 katika Agano Jipya (nyakati za Yesu na baadaye). Zimepangwa na kutayarishwa hasa kwa sababu ya watu wanaoweza kufahamu vema kupitia hadithi badala ya mafundisho.