Hadithi Hamsini na Mbili Kuu Katika Biblia
52 major stories of the Bible in Swahili.
About this Class
Biblia ni hadithi moja inayoendelea, kutoka hadithi ya uumbanji hadi hadithi kuhusu kurundi kwa Yesu kunaotarajiwa katika mwisho wa nyakati. Na pia kuna hadithi ndogo- ndogo ambazo zinaunganishwa kufanya hadithi moja kuu.
Darasa hili ni kuhuhusu hadithi 52 zitakazokusaidia katika safari yako utakapotembea kupitia hadithi kuu za Biblia, 26 zimo katika Agano la Kale (nyakati zinazotazamia kuhusu Yesu) na 26 katika Agano Jipya (nyakati za Yesu na baadaye). Zimepangwa na kutayarishwa hasa kwa sababu ya watu wanaoweza kufahamu vema kupitia hadithi badala ya mafundisho.
Lectures
Pages
Frequently Asked Questions
Who are the programs intended for?
The Foundations program is intended for everyone, regardless of biblical knowledge. The Academy program is intended for those who would like more advanced studies. And the Institute program is intended for those who want to study seminary-level classes.
Do I need to take the classes in a specific order?
In the Foundations and Academy programs, we recommend taking the classes in the order presented, as each subsequent class will build on material from previous classes. In the Institute program, the first 11 classes are foundational. Beginning with Psalms, the classes are on specific books of the Bible or various topics.
Do you offer transfer credit for completing a certificate program?
At this time, we offer certificates only for the classes on the Certificates page. While we do not offer transfer credit for completing a certificate program, you will be better equipped to study the Bible and apply its teachings to your life.